Mambo ya Walawi 19:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Yohana 15:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mupendane kama vile niliwapenda ninyi.+ 1 Watesalonike 4:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Lakini, juu ya upendo wa kindugu,+ hamuna lazima sisi tuwaandikie ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mumefundishwa na Mungu kupendana.+ Yakobo 2:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Sasa, kama munatimiza ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ munafanya muzuri kabisa. 1 Petro 1:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Sasa kwa sababu mumejitakasa ninyi wenyewe* kwa utiifu wenu kwa ile kweli na hivyo mukakuwa na upendo wa kindugu+ wenye hauna unafiki, mupendane sana kutoka katika moyo.+ 1 Yohana 3:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Tunajua kama tumevuka kutoka kifo mupaka uzima,+ kwa sababu tunapenda ndugu.+ Mutu mwenye hapendi anakaa katika kifo.+
18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
9 Lakini, juu ya upendo wa kindugu,+ hamuna lazima sisi tuwaandikie ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mumefundishwa na Mungu kupendana.+
8 Sasa, kama munatimiza ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ munafanya muzuri kabisa.
22 Sasa kwa sababu mumejitakasa ninyi wenyewe* kwa utiifu wenu kwa ile kweli na hivyo mukakuwa na upendo wa kindugu+ wenye hauna unafiki, mupendane sana kutoka katika moyo.+
14 Tunajua kama tumevuka kutoka kifo mupaka uzima,+ kwa sababu tunapenda ndugu.+ Mutu mwenye hapendi anakaa katika kifo.+