7 Kwa maana ni vigumu kwa mutu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki; hata hivyo pengine mutu anaweza kusubutu kufa kwa ajili ya mutu muzuri. 8 Lakini Mungu anapendekeza upendo wake mwenyewe kwetu, kwa kuwa, wakati tulikuwa tungali watenda-zambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.+
5Kwa hiyo, mukuwe waigaji wa Mungu,+ kama watoto wapendwa, 2 na muendelee kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alitupenda sisi*+ na akajitoa mwenyewe kwa ajili yetu* kuwa toleo na zabihu, harufu ya muzuri kwa Mungu.+
16 Kupitia jambo hili, sisi tumejua upendo, kwa sababu huyo alitoa uzima wake* kwa ajili yetu,+ na sisi tunalazimika kutoa uzima wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+