Yohana 16:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati kila mutu mwenye atawaua ninyi+ atawaza amemutolea Mungu utumishi mutakatifu. 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawakufikia kumujua Baba wala mimi.+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati kila mutu mwenye atawaua ninyi+ atawaza amemutolea Mungu utumishi mutakatifu. 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawakufikia kumujua Baba wala mimi.+