Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 24:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Kisha watu watawatia ninyi katika taabu+ na watawaua ninyi,+ na mutachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Matendo 8:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Sauli, kwa upande wake, alikubaliana na kuuawa kwa Stefano.+

      Katika siku hiyo mateso makubwa yakatokea juu ya kutaniko lenye lilikuwa Yerusalemu; wote, isipokuwa mitume, walitawanywa kila mahali katika maeneo ya Yudea na Samaria.+

  • Matendo 12:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Karibu na wakati huo, Mufalme Herode akaanza kutesa wamoja kati ya watu wa kutaniko.+ 2 Aliua kwa upanga+ Yakobo ndugu ya Yohana.+

  • Matendo 26:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kwa kuwapatia azabu mara nyingi katika masinagogi yote, nilijaribu kuwalazimisha wakane imani yao; na kwa sababu nilikuwa nimewakasirikia sana, nilifikia kuwatesa hata katika miji ingine.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine