Matendo 2:43 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 43 Kwa kweli, kila mutu akakuwa* na woga, na maajabu na alama nyingi zikaanza kutendeka kupitia mitume.+ Matendo 5:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume, alama nyingi na maajabu yakaendelea kutendeka kati ya watu;+ na wote walikuwa wanakutana katika eneo la Mistari ya Nguzo za Sulemani.+
43 Kwa kweli, kila mutu akakuwa* na woga, na maajabu na alama nyingi zikaanza kutendeka kupitia mitume.+
12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume, alama nyingi na maajabu yakaendelea kutendeka kati ya watu;+ na wote walikuwa wanakutana katika eneo la Mistari ya Nguzo za Sulemani.+