Zaburi 110:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matayo 26:64 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 64 Yesu akamuambia: “Wewe mwenyewe umesema. Lakini ninawaambia ninyi: Kuanzia sasa mutaona Mwana wa binadamu+ akiwa amekaa kwenye mukono wa kuume wa nguvu,+ na akikuja juu ya mawingu ya mbinguni.”+
110 Yehova alimuambia Bwana wangu: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
64 Yesu akamuambia: “Wewe mwenyewe umesema. Lakini ninawaambia ninyi: Kuanzia sasa mutaona Mwana wa binadamu+ akiwa amekaa kwenye mukono wa kuume wa nguvu,+ na akikuja juu ya mawingu ya mbinguni.”+