Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:28-32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Kisha nitamwanga roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili,

      Na watoto wenu wanaume na watoto wenu wanamuke watatoa unabii,

      Wazee wenu wataota ndoto,

      Na vijana wenu wanaume wataona maono.+

      29 Na hata juu ya watumwa wangu wanaume na watumwa wangu wanamuke

      Nitamwanga roho yangu katika siku hizo.

      30 Na nitatoa maajabu katika mbingu na juu ya dunia,

      Damu na moto na nguzo za moshi.+

      31 Jua litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa damu+

      Mbele ya kuja kwa ile siku kubwa ya Yehova na yenye kuogopesha sana.+

      32 Na kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova ataokolewa;+

      Kwa maana kwenye Mulima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa watu wenye kuponyoka,+ kama vile Yehova amesema,

      Watu wenye kuokoka wenye Yehova anaita.”

  • Waroma 10:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kwa maana “kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova* ataokolewa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine