Zaburi 22:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Wale wote wenye wananiona wananichekelea;+Wanazomea na kutikisa vichwa vyao kwa zarau:+ Zaburi 34:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Analinda mifupa yake yote;Hakuna mumoja kati ya mifupa yake wenye umevunjwa.+ Zaburi 69:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Lakini walinipatia sumu* kuwa chakula,+Na kwa ajili ya kiu yangu walinipatia siki* ili nikunywe.+ Zaburi 118:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Jiwe lenye wajenzi walikataaLimekuwa jiwe kubwa la pembe.*+ Isaya 50:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Nilipatia mugongo wangu wale wenye walikuwa wananipigaNa mashavu yangu wale wenye walingoa ndevu zangu. Sikuficha uso wangu kutokana na mambo yenye kufezehesha na kutokana na mate.+ Isaya 53:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Alizarauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mutu mwenye alikusudiwa* kupata maumivu na mwenye alizoea magonjwa. Ilikuwa kama vile uso wake ulifichwa tusiuone.* Alizarauliwa, na hatukumuona kuwa mutu wa maana.+ Isaya 53:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Lakini alitobolewa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+Alikuwa anapondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Alibeba azabu kwa ajili ya amani yetu,+Na kwa sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa.+
6 Nilipatia mugongo wangu wale wenye walikuwa wananipigaNa mashavu yangu wale wenye walingoa ndevu zangu. Sikuficha uso wangu kutokana na mambo yenye kufezehesha na kutokana na mate.+
3 Alizarauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mutu mwenye alikusudiwa* kupata maumivu na mwenye alizoea magonjwa. Ilikuwa kama vile uso wake ulifichwa tusiuone.* Alizarauliwa, na hatukumuona kuwa mutu wa maana.+
5 Lakini alitobolewa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+Alikuwa anapondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Alibeba azabu kwa ajili ya amani yetu,+Na kwa sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa.+