Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Wale wote wenye wananiona wananichekelea;+

      Wanazomea na kutikisa vichwa vyao kwa zarau:+

  • Zaburi 34:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Analinda mifupa yake yote;

      Hakuna mumoja kati ya mifupa yake wenye umevunjwa.+

  • Zaburi 69:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini walinipatia sumu* kuwa chakula,+

      Na kwa ajili ya kiu yangu walinipatia siki* ili nikunywe.+

  • Zaburi 118:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Jiwe lenye wajenzi walikataa

      Limekuwa jiwe kubwa la pembe.*+

  • Isaya 50:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Nilipatia mugongo wangu wale wenye walikuwa wananipiga

      Na mashavu yangu wale wenye walingoa ndevu zangu.

      Sikuficha uso wangu kutokana na mambo yenye kufezehesha na kutokana na mate.+

  • Isaya 53:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Alizarauliwa na kuepukwa na wanadamu,+

      Mutu mwenye alikusudiwa* kupata maumivu na mwenye alizoea magonjwa.

      Ilikuwa kama vile uso wake ulifichwa tusiuone.*

      Alizarauliwa, na hatukumuona kuwa mutu wa maana.+

  • Isaya 53:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Lakini alitobolewa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+

      Alikuwa anapondwa kwa ajili ya makosa yetu.+

      Alibeba azabu kwa ajili ya amani yetu,+

      Na kwa sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine