Kumbukumbu la Torati 4:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 “Kama munatafuta Yehova Mungu wako mukiwa kule, hakika mutamupata,+ kama unamutafuta kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote.+ Zaburi 145:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Yehova iko karibu na wale wote wenye kumuitia,+Wote wenye kumuitia katika ukweli.*+ Waroma 1:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kwa maana sifa zake zenye hazionekane zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaonekana kupitia vitu vyenye vilifanywa,+ ndiyo, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ na hivyo hawana sababu ya kujitetea.
29 “Kama munatafuta Yehova Mungu wako mukiwa kule, hakika mutamupata,+ kama unamutafuta kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote.+
20 Kwa maana sifa zake zenye hazionekane zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaonekana kupitia vitu vyenye vilifanywa,+ ndiyo, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ na hivyo hawana sababu ya kujitetea.