12 Ninataka kusema hivi, kwamba kila mumoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,”* “Lakini mimi ni wa Kristo.”
5 Basi, Apolo ni nani? Ndiyo, Paulo ni nani? Watumishi+ wenye kupitia wao mulikuwa waamini, kama vile Bwana alimuwezesha kila mumoja. 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikomalisha,