27 Na akakamata kikombe, akatoa shukrani, na kuwapatia, na kusema: “Mukunywe ninyi wote divai yenye kuwa ndani,+28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ yenye itamwangwa kwa ajili ya wengi+ kwa musamaha wa zambi.+
7 Kupitia yeye tunaachiliwa huru kwa njia ya bei ya ukombozi kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, musamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fazili zake zenye hazistahiliwe.