Yoeli 2:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Na kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova ataokolewa;+Kwa maana kwenye Mulima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa watu wenye kuponyoka,+ kama vile Yehova amesema,Watu wenye kuokoka wenye Yehova anaita.”
32 Na kila mutu mwenye anaitia jina la Yehova ataokolewa;+Kwa maana kwenye Mulima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa watu wenye kuponyoka,+ kama vile Yehova amesema,Watu wenye kuokoka wenye Yehova anaita.”