-
Luka 24:46-48Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
46 na akawaambia: “Haya ndiyo yameandikwa: kwamba Kristo atateseka na atafufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu (3),+ 47 na kwa musingi wa jina lake kutubu kwenye kuongoza kwenye musamaha wa zambi+ kungehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu.+ 48 Ninyi munapaswa kuwa mashahidi wa mambo haya.+
-
-
Matendo 2:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Mungu alimufufua huyu Yesu, na sisi wote tuko mashahidi wa jambo hilo.+
-