Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Luka 24:46-48
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 46 na akawaambia: “Haya ndiyo yameandikwa: kwamba Kristo atateseka na atafufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu (3),+ 47 na kwa musingi wa jina lake kutubu kwenye kuongoza kwenye musamaha wa zambi+ kungehubiriwa katika mataifa yote+⁠—⁠kuanzia Yerusalemu.+ 48 Ninyi munapaswa kuwa mashahidi wa mambo haya.+

  • Matendo 1:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini mutapokea nguvu wakati roho takatifu itakuja juu yenu,+ na mutakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu,+ katika Yudea yote na Samaria,+ na mupaka kwenye sehemu ya mbali zaidi* ya dunia.”+

  • Matendo 2:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Mungu alimufufua huyu Yesu, na sisi wote tuko mashahidi wa jambo hilo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine