2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati kila mutu mwenye atawaua ninyi+ atawaza amemutolea Mungu utumishi mutakatifu. 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawakufikia kumujua Baba wala mimi.+
13 hata kama zamani nilikuwa mutu mwenye kumutukana Mungu na mutesaji na mutu mwenye zarau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema kwa sababu nilitenda bila kujua na kwa kukosa imani.