11 Uwaambie, ‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “Sifurahie kifo cha muovu,+ lakini tofauti na hilo mutu muovu abadilishe njia yake+ na kuendelea kuishi.+ Mugeuke, mugeuke muache njia zenu za mubaya,+ sababu gani mukufe, Ee nyumba ya Israeli?”’+