Mwanzo 15:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Naye akakuwa na imani katika Yehova,+ na Mungu akamuhesabia hilo kuwa haki.+ Yakobo 2:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 na andiko likatimizwa lenye linasema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa haki,”+ na akaitwa rafiki ya Yehova.*+
23 na andiko likatimizwa lenye linasema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa haki,”+ na akaitwa rafiki ya Yehova.*+