Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 4:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kwa maana haiko kupitia sheria ndiyo Abrahamu ao uzao wake walipata ahadi kwamba atakuwa* muriti wa ulimwengu fulani,+ lakini ilikuwa kupitia haki kwa njia ya imani.+

  • Waroma 4:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa hiyo “ikahesabiwa kwake kuwa haki.”+

  • Wagalatia 3:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Kama vile Abrahamu “alikuwa na imani katika Yehova,* na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”+

  • Yakobo 2:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 na andiko likatimizwa lenye linasema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa haki,”+ na akaitwa rafiki ya Yehova.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine