-
Mwanzo 19:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Na wakaendelea kumuita Loti na kumuambia: “Wako wapi wale wanaume wenye waliingia kwako usiku wa leo? Uwalete inje ili tufanye ngono nao.”+
-
-
Mambo ya Walawi 20:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 “‘Kama mwanaume analala na mwanaume mwenzake kama vile mutu analala na mwanamuke, wote wawili wamefanya kitu chenye kuchukiza.+ Wanapaswa kabisa kuuawa. Damu yao iko juu yao.
-
-
1 Wakorinto 6:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Ao je, hamujue kama watu wenye hawako wenye haki hawatariti Ufalme wa Mungu?+ Musidanganywe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinifu,+ wanaume wenye wanakubali matendo ya kulalwa na wanaume wenzao,+ wanaume wenye kulala na wanaume wenzao,+ 10 wezi, watu wenye kuwa na pupa,+ walevi,+ watukanaji,* wanyanganyi hawatariti Ufalme wa Mungu.+
-