Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Na wakaendelea kumuita Loti na kumuambia: “Wako wapi wale wanaume wenye waliingia kwako usiku wa leo? Uwalete inje ili tufanye ngono nao.”+

  • Mambo ya Walawi 18:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 “‘Haupaswe kulala na mwanaume kama vile unalala na mwanamuke.+ Hilo ni tendo lenye kuchukiza.

  • Mambo ya Walawi 20:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 “‘Kama mwanaume analala na mwanaume mwenzake kama vile mutu analala na mwanamuke, wote wawili wamefanya kitu chenye kuchukiza.+ Wanapaswa kabisa kuuawa. Damu yao iko juu yao.

  • 1 Wakorinto 6:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Ao je, hamujue kama watu wenye hawako wenye haki hawatariti Ufalme wa Mungu?+ Musidanganywe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinifu,+ wanaume wenye wanakubali matendo ya kulalwa na wanaume wenzao,+ wanaume wenye kulala na wanaume wenzao,+ 10 wezi, watu wenye kuwa na pupa,+ walevi,+ watukanaji,* wanyanganyi hawatariti Ufalme wa Mungu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine