Wagalatia 6:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Zaidi ya hayo, mutu yeyote mwenye anafundishwa* neno ashiriki katika mambo yote mema pamoja na ule mwenye anatoa fundisho hilo.*+ Waebrania 13:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Zaidi ya hayo, musisahau kutenda mema na kushiriki pamoja na wengine vile vyenye muko navyo,+ kwa maana Mungu anapendezwa na zabihu za namna hiyo.+
6 Zaidi ya hayo, mutu yeyote mwenye anafundishwa* neno ashiriki katika mambo yote mema pamoja na ule mwenye anatoa fundisho hilo.*+
16 Zaidi ya hayo, musisahau kutenda mema na kushiriki pamoja na wengine vile vyenye muko navyo,+ kwa maana Mungu anapendezwa na zabihu za namna hiyo.+