Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 10:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Musibebe zahabu, feza, ao shaba kwenye mikaba* yenu ya kuwekea feza,+ 10 ao mufuko wa chakula kwa ajili ya safari, ao nguo mbili,* ao viatu, ao fimbo,+ kwa maana mufanyakazi anastahili chakula chake.+

  • Luka 10:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Basi mukae katika nyumba hiyo,+ na mukule na kunywa kile watawapatia,+ kwa maana mufanyakazi anastahili malipo yake.+ Musikuwe munahama kutoka nyumba mupaka nyumba.

  • Waroma 15:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Kweli, wamependezwa kufanya vile, na kwa hakika walikuwa na deni kwao; kwa maana kama mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho, wao pia wako na deni la kuwatumikia kwa vitu vyao vya kimwili.+

  • 1 Wakorinto 9:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kama tumepanda vitu vya kiroho katikati yenu, je, ni jambo kubwa sana kama tunavuna vitu vya kimwili kutoka kwenu?+

  • 1 Wakorinto 9:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Vilevile, pia, Bwana aliamuru kwamba wale wenye wanatangaza habari njema waishi kupitia habari njema.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine