-
Waroma 15:27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Kweli, wamependezwa kufanya vile, na kwa hakika walikuwa na deni kwao; kwa maana kama mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho, wao pia wako na deni la kuwatumikia kwa vitu vyao vya kimwili.+
-
-
1 Wakorinto 9:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kama tumepanda vitu vya kiroho katikati yenu, je, ni jambo kubwa sana kama tunavuna vitu vya kimwili kutoka kwenu?+
-