Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kwa sababu ya uchungu wake,* ataona na kutosheka.

      Kupitia ujuzi wake, mwenye haki, mutumishi wangu,+

      Atafanya wengi wahesabiwe kuwa wenye haki;+

      Na atabeba makosa yao.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 “Na hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake na kila mutu na ndugu yake, kwa kusema, ‘Mumujue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao,”+ ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nitasamehe kosa lao, na sitakumbuka tena zambi yao.”+

  • Danieli 9:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 “Kuko majuma* makumi saba (70) yenye yameamuliwa juu ya watu wako na muji wako mutakatifu,+ ili kumaliza makosa, kumaliza kabisa zambi,+ kufunika kosa,+ kuleta haki milele,+ kutia muhuri maono na unabii,*+ na kutia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine