34 “Na hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake na kila mutu na ndugu yake, kwa kusema, ‘Mumujue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao,”+ ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nitasamehe kosa lao, na sitakumbuka tena zambi yao.”+
24 “Kuko majuma* makumi saba (70) yenye yameamuliwa juu ya watu wako na muji wako mutakatifu,+ ili kumaliza makosa, kumaliza kabisa zambi,+ kufunika kosa,+ kuleta haki milele,+ kutia muhuri maono na unabii,*+ na kutia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.*