Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 7:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Mulinunuliwa kwa bei;+ muache kuwa watumwa wa wanadamu.

  • Waebrania 9:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Aliingia mahali patakatifu, hapana akiwa na damu ya mbuzi na ya ngombe-dume wadogo, lakini akiwa na damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote, na kupata ukombozi wa* milele kwa ajili yetu.+

  • 1 Petro 1:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kwa maana munajua kama haiko kwa vitu vyenye vinaweza kuharibika, kwa feza ao zahabu, ndiyo muliwekwa huru*+ kutoka kwenye njia yenu ya maisha yenye haina maana,* yenye mulipokea kutoka kwa mababu zenu.* 19 Lakini ilikuwa kwa damu yenye samani,+ kama ile ya mwana-kondoo mwenye hana kasoro na mwenye hana doa,+ ile ya Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine