-
1 Wakorinto 7:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Mulinunuliwa kwa bei;+ muache kuwa watumwa wa wanadamu.
-
-
1 Petro 1:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Kwa maana munajua kama haiko kwa vitu vyenye vinaweza kuharibika, kwa feza ao zahabu, ndiyo muliwekwa huru*+ kutoka kwenye njia yenu ya maisha yenye haina maana,* yenye mulipokea kutoka kwa mababu zenu.* 19 Lakini ilikuwa kwa damu yenye samani,+ kama ile ya mwana-kondoo mwenye hana kasoro na mwenye hana doa,+ ile ya Kristo.+
-