32 Muepuke kuwa vikwazo kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,+33 kama vile ninajaribu kupendeza watu wote katika mambo yote, bila kutafuta faida yangu mwenyewe,+ lakini faida ya wengi, ili wafikie kuokolewa.+
4 Upendo+ ni wenye uvumilivu*+ na wenye fazili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujisifu, haujivune,+5 haujiendeshe bila adabu,+ hautafute faida zake wenyewe,+ haukasirike haraka.+ Hauweke hesabu ya ubaya.*+