1 Wakorinto 10:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kila mumoja aendelee kutafuta, hapana faida yake mwenyewe, lakini faida ya ule mutu mwingine.+ Wafilipi 2:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 mukiendelea kuangalia, hapana faida zenu ninyi wenyewe tu,+ lakini pia faida za wengine.+