Matendo 4:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Hawa walikuwa wamekasirika kwa sababu mitume walikuwa wanafundisha watu na kutangaza waziwazi ufufuo wa Yesu kutoka kwa wafu.*+ Matendo 17:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Kwa sababu ameweka siku yenye anakusudia kuhukumu+ kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu kupitia mwanaume mwenye ameweka, na ametoa uhakikisho kwa watu wote kwa kuwa amemufufua kutoka kwa wafu.”+
2 Hawa walikuwa wamekasirika kwa sababu mitume walikuwa wanafundisha watu na kutangaza waziwazi ufufuo wa Yesu kutoka kwa wafu.*+
31 Kwa sababu ameweka siku yenye anakusudia kuhukumu+ kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu kupitia mwanaume mwenye ameweka, na ametoa uhakikisho kwa watu wote kwa kuwa amemufufua kutoka kwa wafu.”+