Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 12:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kwa maana kupitia fazili zenye hazistahiliwe zenye nilipewa, ninaambia kila mutu pale kati yenu asijifikirie yeye mwenyewe sana kuliko vile inaomba kufikiri,+ lakini afikiri ili akuwe na akili ya muzuri, kila mumoja kama vile Mungu alimupatia* kipimo cha imani.+

  • 2 Wakorinto 12:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Kwa maana ninaogopa kwamba kwa njia fulani wakati nitafika, pengine sitawakuta ninyi mukiwa vile ninataka na mimi sitakuwa vile munataka nikuwe, lakini tofauti na hilo, pengine kuko mizozo, wivu, milipuko ya kasirani, migawanyiko, kusemana mubaya, kusemana kwa sauti ya chini-chini,* kujivuna kwa kiburi, na muvurugo.

  • 3 Yohana 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, mwenye anapenda kuwa wa kwanza kati yao,+ hakubali kwa heshima jambo lolote kutoka kwetu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine