-
2 Wakorinto 12:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Kwa maana ninaogopa kwamba kwa njia fulani wakati nitafika, pengine sitawakuta ninyi mukiwa vile ninataka na mimi sitakuwa vile munataka nikuwe, lakini tofauti na hilo, pengine kuko mizozo, wivu, milipuko ya kasirani, migawanyiko, kusemana mubaya, kusemana kwa sauti ya chini-chini,* kujivuna kwa kiburi, na muvurugo.
-