Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Kama vile imeandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa muchana wote; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+

  • 1 Wakorinto 15:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Ikiwa, kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa pori katika Efeso,+ hilo liko na faida gani kwangu? Kama wafu hawatafufuliwa, “basi tukule na tukunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+

  • 2 Wakorinto 6:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 lakini katika kila njia tunajipendekeza sisi wenyewe kuwa watumishi wa Mungu,+ kwa kuvumilia mambo mengi, kwa taabu, kwa nyakati za uhitaji, kwa magumu,+

  • 2 Wakorinto 6:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 kama wenye hawajulikane lakini tunatambuliwa, kama wenye kufa* lakini angalia! tunaishi,+ kama wenye kupewa azabu* lakini hatujatolewa kwenye kifo,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine