32 Ikiwa, kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa pori katika Efeso,+ hilo liko na faida gani kwangu? Kama wafu hawatafufuliwa, “basi tukule na tukunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+
4 lakini katika kila njia tunajipendekeza sisi wenyewe kuwa watumishi wa Mungu,+ kwa kuvumilia mambo mengi, kwa taabu, kwa nyakati za uhitaji, kwa magumu,+