25 mara tatu (3) nilipigwa kwa fimbo,+ mara moja nilipigwa majiwe,+ mara tatu nilivunjikiwa mashua,*+ usiku mumoja na muchana mumoja nimekaa katika bahari kubwa;
27 katika kazi ya jasho na ya taabu, mara nyingi katika kukosa usingizi usiku,+ katika njaa na kiu,+ kukosa chakula mara kwa mara,+ katika baridi na kukosa nguo.*