4 lakini katika kila njia tunajipendekeza sisi wenyewe kuwa watumishi wa Mungu,+ kwa kuvumilia mambo mengi, kwa taabu, kwa nyakati za uhitaji, kwa magumu,+ 5 kwa kupigwa, kwa kufungwa katika gereza,+ kwa machafuko, kwa kazi ya nguvu, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kukosa chakula;+