-
Waroma 15:30-32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Sasa ninawaomba, ndugu, kupitia Bwana wetu Yesu Kristo na kupitia upendo wa roho, mujikaze pamoja na mimi kusali kwa Mungu kwa ajili yangu,+ 31 ili nikombolewe+ kutoka kwa wale wenye hawaamini katika Yudea na ili utumishi wangu kwa ajili ya Yerusalemu ukubaliwe na watakatifu,+ 32 ili kwa mapenzi ya Mungu nikuje kwenu nikiwa na furaha na nipate faraja pamoja na ninyi.
-