-
Waefeso 1:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 kwa kutujulisha siri takatifu+ ya mapenzi yake. Yeye mwenyewe alikusudia kulingana na vile ilimupendeza 10 kwa ajili ya usimamizi* kwenye mwisho kabisa wa nyakati zenye ziliwekwa, ili kukusanya pamoja vitu vyote katika Kristo, vitu vyenye kuwa mbinguni na vitu vyenye kuwa duniani.+ Ndiyo, katika yeye
-
-
Wakolosai 1:26, 27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
26 siri takatifu+ yenye ilikuwa imefichwa tangu mipangilio ya mambo*+ yenye ilipita na tangu vizazi vyenye vilipita. Lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake,+ 27 wenye Mungu amependezwa kuwajulisha katikati ya mataifa utajiri wenye utukufu wa siri hii takatifu,+ ambayo ni Kristo katika umoja na ninyi, tumaini la utukufu wake.+
-