Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Mujitahiri kwa ajili ya Yehova,

      Na kuondoa magovi* ya mioyo yenu,+

      Ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu,

      Ili kasirani yangu kali isiwake kama moto

      Na iteketeze bila mutu yeyote wa kuizimisha,

      Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”+

  • Waroma 2:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Lakini yeye ni Muyahudi ule mwenye kuwa vile kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, lakini hapana kupitia sheria zenye ziliandikwa.+ Sifa ya mutu huyo inatoka kwa Mungu, hapana kwa wanadamu.+

  • Wakolosai 2:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kupitia uhusiano wenu pamoja naye, ninyi pia mulitahiriwa kwa kutahiriwa kwenye kunafanywa bila mikono kwa kuvua mwili wenye nyama,+ kwa kutahiriwa kwenye kuwa kwa Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine