29 Lakini yeye ni Muyahudi ule mwenye kuwa vile kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, lakini hapana kupitia sheria zenye ziliandikwa.+ Sifa ya mutu huyo inatoka kwa Mungu, hapana kwa wanadamu.+
11 Kupitia uhusiano wenu pamoja naye, ninyi pia mulitahiriwa kwa kutahiriwa kwenye kunafanywa bila mikono kwa kuvua mwili wenye nyama,+ kwa kutahiriwa kwenye kuwa kwa Kristo.+