29 Lakini yeye ni Muyahudi ule mwenye kuwa vile kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, lakini hapana kupitia sheria zenye ziliandikwa.+ Sifa ya mutu huyo inatoka kwa Mungu, hapana kwa wanadamu.+
3 Kwa maana sisi ndio wenye kutahiriwa kwa kweli,+ sisi wenye tunatoa utumishi mutakatifu kupitia roho ya Mungu na tunajisifu katika Kristo Yesu+ na wenye hatutegemeze tumaini letu katika mwili,