-
Wafilipi 2:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Basi, kama kuko kitia-moyo chochote katika Kristo, kama kuko faraja yoyote ya upendo, kama kuko ushirika wowote wa kiroho,* kama kuko upendo wenye upole* wowote na huruma yoyote, 2 mufanye furaha yangu ijae kwa kuwa na akili ileile na kuwa na upendo uleule, mukiwa mumeunganishwa kabisa,* mukiwa na wazo moja katika akili.+
-