7 Mupatie wote haki zao: ule mwenye anataka kodi, kodi;+ ule mwenye anataka ushuru, ushuru; ule mwenye anataka woga, woga;+ ule mwenye anataka heshima, heshima.+
22 Ninyi watumwa, mutii katika kila jambo wale wenye kuwa mabwana wenu wanadamu,*+ haiko tu wakati wanaangalia, ili tu kupendeza wanadamu,* lakini kwa moyo muzuri, kwa kumuogopa Yehova.*