Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “Kwa maana, Mungu alipenda ulimwengu sana na hivyo akamutoa Mwana wake muzaliwa-pekee,+ ili kila mutu mwenye anamuamini asiharibiwe lakini apate uzima wa milele.+

  • Yohana 6:40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 40 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba kila mutu mwenye anakubali Mwana na kumuamini akuwe na uzima wa milele,+ na mimi nitamufufua+ katika siku ya mwisho.”

  • Yohana 6:44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 Hakuna mutu mwenye anaweza kuja kwangu isipokuwa Baba mwenye alinituma amuvute,+ na mimi nitamufufua katika siku ya mwisho.+

  • 1 Petro 1:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa sisi upya+ kwa ajili ya tumaini+ lenye uzima kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,+ 4 kwenye uriti wenye hauwezi kuharibika na wenye hauna uchafu na wenye haufifie.+ Uriti huo umewekwa mbinguni kwa ajili yenu,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine