Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 2:29-32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 “Wanaume, ndugu zangu, inaruhusiwa kusema na ninyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi, kichwa cha familia, kwamba alikufa na akazikwa,+ na kaburi lake liko hapa mupaka leo. 30 Kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemuapia kwa kiapo kwamba ataikalisha mumoja kati ya wazao wake* kwenye kiti chake cha ufalme,+ 31 aliona mbele ya wakati na alisema juu ya ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* na mwili wake haukuona uharibifu.*+ 32 Mungu alimufufua huyu Yesu, na sisi wote tuko mashahidi wa jambo hilo.+

  • Waroma 1:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 juu ya Mwana wake, mwenye alikuja kutokea katika uzao wa* Daudi+ kulingana na mwili,

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine