1 Wakorinto 4:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Ndiyo sababu ninamutuma Timoteo kwenu, kwa sababu yeye ni mutoto wangu mupendwa na muaminifu katika Bwana. Atawakumbusha ufundi wangu mbalimbali* kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninafundisha kila mahali katika kila kutaniko. 2 Timoteo 1:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Endelea kushika mufano wa* maneno yenye faida*+ yenye ulisikia kutoka kwangu kwa imani na upendo wenye unatokana na umoja na Kristo Yesu.
17 Ndiyo sababu ninamutuma Timoteo kwenu, kwa sababu yeye ni mutoto wangu mupendwa na muaminifu katika Bwana. Atawakumbusha ufundi wangu mbalimbali* kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninafundisha kila mahali katika kila kutaniko.
13 Endelea kushika mufano wa* maneno yenye faida*+ yenye ulisikia kutoka kwangu kwa imani na upendo wenye unatokana na umoja na Kristo Yesu.