27 Na akakamata kikombe, akatoa shukrani, na kuwapatia, na kusema: “Mukunywe ninyi wote divai yenye kuwa ndani,+28 kwa maana hii inamaanisha ‘damu yangu+ ya agano,’+ yenye itamwangwa kwa ajili ya wengi+ kwa musamaha wa zambi.+
20 Pia akafanya vilevile kuhusu kikombe kisha wao kula chakula cha mangaribi, na kusema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa musingi wa damu yangu,+ yenye itamwangwa kwa ajili yenu.+