20 Basi Yobu akasimama na kupasua nguo yake na akanyoa nywele za kichwa chake; kisha akaanguka chini na kuinama 21 na kusema:
“Nilitoka katika tumbo la uzazi la mama yangu nikiwa uchi,
Na nitarudia nikiwa uchi.+
Yehova ametoa,+ na Yehova amenyanganya.
Jina la Yehova liendelee kusifiwa.”