Yobu 29:12, 13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Kwa maana nilikuwa ninaokoa maskini mwenye kulilia musaada,+Na mutoto mwenye hana baba na mutu yeyote mwenye hakukuwa na mutu wa kumusaidia.+ 13 Mutu mwenye alikuwa karibu kufa alikuwa ananibariki,+Na nilifurahisha moyo wa mwanamuke mujane.+ Isaya 58:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Ni kumugawia mwenye kuwa na njaa mukate wako,+Kuingiza maskini na wenye hawana makao katika nyumba yako,Kuvalisha mwenye kuwa uchi wakati unamuona,+Na kuacha kugeuzia mugongo wako watu wa damu yako mwenyewe.
12 Kwa maana nilikuwa ninaokoa maskini mwenye kulilia musaada,+Na mutoto mwenye hana baba na mutu yeyote mwenye hakukuwa na mutu wa kumusaidia.+ 13 Mutu mwenye alikuwa karibu kufa alikuwa ananibariki,+Na nilifurahisha moyo wa mwanamuke mujane.+
7 Ni kumugawia mwenye kuwa na njaa mukate wako,+Kuingiza maskini na wenye hawana makao katika nyumba yako,Kuvalisha mwenye kuwa uchi wakati unamuona,+Na kuacha kugeuzia mugongo wako watu wa damu yako mwenyewe.