Waebrania 12:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wanatutia nizamu, na tuliwapatia heshima. Je, hatupaswe kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 1 Petro 2:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Muheshimie watu wa namna zote,+ mupende ushirika muzima wa ndugu,*+ mumuogope Mungu,+ mumuheshimie mufalme.+ 1 Petro 5:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa hiyo, mujinyenyekeze chini ya mukono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati wenye kufaa,+
9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wanatutia nizamu, na tuliwapatia heshima. Je, hatupaswe kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+
17 Muheshimie watu wa namna zote,+ mupende ushirika muzima wa ndugu,*+ mumuogope Mungu,+ mumuheshimie mufalme.+
6 Kwa hiyo, mujinyenyekeze chini ya mukono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati wenye kufaa,+