Mambo ya Walawi 19:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya kichwa chenye imvi,+ na unapaswa kumuheshimia mutu mwenye kuzeeka,+ na unapaswa kumuogopa Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Waroma 12:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Katika upendo wa kindugu mukuwe na upendo wenye upole* kwa mutu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, mukuwe wa kwanza.+ Waroma 13:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Mupatie wote haki zao: ule mwenye anataka kodi, kodi;+ ule mwenye anataka ushuru, ushuru; ule mwenye anataka woga, woga;+ ule mwenye anataka heshima, heshima.+
32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya kichwa chenye imvi,+ na unapaswa kumuheshimia mutu mwenye kuzeeka,+ na unapaswa kumuogopa Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.
10 Katika upendo wa kindugu mukuwe na upendo wenye upole* kwa mutu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, mukuwe wa kwanza.+
7 Mupatie wote haki zao: ule mwenye anataka kodi, kodi;+ ule mwenye anataka ushuru, ushuru; ule mwenye anataka woga, woga;+ ule mwenye anataka heshima, heshima.+