-
Waroma 6:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Vilevile ninyi, mujione kuwa wafu kuhusiana na zambi lakini wazima kuhusiana na Mungu kupitia Kristo Yesu.+
-
-
1 Yohana 3:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Kila mutu mwenye anakaa katika umoja naye haendelee kufanya zambi;+ hakuna mutu mwenye anazoea kufanya zambi mwenye amemuona ao kumujua.
-