9 Yehova atakufanya kuwa kikundi chake cha watu watakatifu,+ kama vile alikuapia,+ kwa sababu unaendelea kushika amri za Yehova Mungu wako na kutembea katika njia zake.
12Kwa sababu hiyo, ndugu, ninawaomba kwa huruma za Mungu, mutoe miili yenu+ ikuwe zabihu yenye uzima, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mutakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+