3 Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa sisi upya+ kwa ajili ya tumaini+ lenye uzima kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,+
9 Kila mutu mwenye amezaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi,+ kwa sababu mbegu* Yake inakaa ndani ya mutu huyo, na hawezi kuwa na mazoea ya kufanya zambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+