Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Yesu akamuambia: “Kwa kweli kabisa ninakuambia, kama mutu hazaliwe tena,*+ hawezi kuona Ufalme wa Mungu.”+

  • 2 Wakorinto 5:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa hiyo, kama mutu yeyote iko* katika umoja na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipita; angalia! mambo ya mupya yamekuja kuwa.

  • 1 Petro 1:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa sisi upya+ kwa ajili ya tumaini+ lenye uzima kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,+

  • 1 Yohana 3:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kila mutu mwenye amezaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi,+ kwa sababu mbegu* Yake inakaa ndani ya mutu huyo, na hawezi kuwa na mazoea ya kufanya zambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine