Waroma 13:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kila mutu ajitiishe* kwa mamlaka zenye kuwa kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kwa ruhusa ya Mungu;+ mamlaka zenye ziko zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+ Waefeso 6:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Watumwa, mutii mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile munamutii Kristo, Tito 3:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kutii serikali na mamlaka,+ wakuwe tayari kwa ajili ya kila kazi ya muzuri,
13 Kila mutu ajitiishe* kwa mamlaka zenye kuwa kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kwa ruhusa ya Mungu;+ mamlaka zenye ziko zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+
5 Watumwa, mutii mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile munamutii Kristo,
3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kutii serikali na mamlaka,+ wakuwe tayari kwa ajili ya kila kazi ya muzuri,