-
Yeremia 11:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
Acha nione kisasi chako juu yao,
Kwa maana nimeleta kesi yangu ya hukumu kwako.
-
-
Yohana 8:50Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
50 Lakini mimi sijitafutie utukufu;+ kuko Ule mwenye anatafuta utukufu huo na ni yeye anahukumu.
-