Kutoka 34:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+ Mika 7:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+ 1 Yohana 4:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Sisi tunapenda, kwa sababu alitupenda kwanza.+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+
18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+