-
1 Yohana 2:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili musifanye zambi. Lakini, kama mutu yeyote anafanya zambi, tuko na musaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mwenye haki.+ 2 Na yeye ni zabihu ya kufunika*+ kwa ajili ya zambi zetu,+ hata hivyo haiko zambi zetu tu lakini pia zambi za ulimwengu wote.+
-