Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Mungu alimutoa kuwa toleo la kufunika zambi*+ kupitia imani katika damu yake.+ Ilikuwa vile ili kuonyesha haki yake mwenyewe, kwa sababu Mungu kwa uvumilivu wake alikuwa anasamehe zambi zenye zilifanywa wakati wenye ulipita.

  • Waebrania 2:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili akuwe kuhani mukubwa mwenye rehema na muaminifu katika mambo yenye yanahusiana na Mungu, ili atoe zabihu ya kufunika zambi+ kwa ajili ya zambi za watu.+

  • Waebrania 9:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Tofauti na hilo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa musingi wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua yeye mwenyewe mara moja kwa wakati wote kwenye umalizio wa mipangilio ya mambo* ili kuondoa zambi kupitia zabihu yake mwenyewe.+

  • 1 Yohana 2:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili musifanye zambi. Lakini, kama mutu yeyote anafanya zambi, tuko na musaidizi* kwa Baba, Yesu Kristo,+ mwenye haki.+ 2 Na yeye ni zabihu ya kufunika*+ kwa ajili ya zambi zetu,+ hata hivyo haiko zambi zetu tu lakini pia zambi za ulimwengu wote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine